Jumanne, 10 Novemba 2015
MHAZINI WA KANISA NDG:SAMORA KIBOYE AFANYIWA OPERESHENI
Mhazini wa kanisa la shirati central sda ndgu samora kiboye amelazwa katika hospitali ya KMT KABWANA hospitali ya wilaya ya rorya .mhazini huyo wa kanisa mwenye umri wa miaka 35 alianza kuumwa kuanzia 07/11/2015 akiwa dukani kwake mda wa saa 3:00 asubuhi ndipo alipoanza kuhisi maumivu tumboni ilipo fika majira ya saa nne usiku alizidiwa na kufikishwa hospitalini baada ya kupimwa na kugundulika kuwa ana APENDEX na madktari kuamua kumfanyia operesheni 10/11/2015 mda wa saa 5 asubuhi ndgu samora kiboye bado yupo chini ya uangalizi wa madktari hadi pale atakaporuhusiwa tuzidi kumuombea
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
