KARIBU MCH:EZEKIEL OCHUPE
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya jana tarehe
28/01/2017 kuagwa rasmi kwa aliyekuwa mchungaji wa mtaa wa shirati inayoundwa
na makanisa 11 huku akikaribirishwa anayechukua nafasi yake hiyo mch:Ezekiel
ochupe aliyetokea mtaa wa kamageta. Mch:samwel oim anayekwenda kutumika tena
shambani mwa bwana katika mtaa wa Ikorongo huko Serengeti maeneo ya
Rung,abure aaliagwa kwa pamoja na
makanisa yote ya mtaa wa shirati sherehe hizo za kumuaga ziliambatana na ibada
ya kawaida ya siku ya sabato katika kanisa la ochuna.
Baadhi ya picha ya zawadi zilizotolewa kwake
MCH:ISACK GAMA AKICHEEKA KWA FURAHA KUKABIDHI ZAWADI KWA NIABA YA MTAA
MCH:OCHUPE AKIPEWA ZAWADI YA KUMKARIBISHA NA NDG:MARTIN KIBOYE






















