Jumamosi, 26 Septemba 2015
KARIBUNI KWENYE KANGAMANO LA KWAYA
Karibuni kwenye kongamano la kwaya litakalofanyika rasmi katika eneo la kanisa la SHIRATI CENTRAL siku ya jumapili tarehe 27/9/2015 kuanzia saa mbili kamili asubuhi.Kwaya lengwa ni Shirati central
Shirati east
Obwere
Bwiri
Mbire
kinyence
kabwana
sidika
sota
minigo
Ryagati
bunyangi na mengineyo
Kwaya hizi zote zinatoka katika mitaa miwili yaani VICTORIA na SHIRATI njoo ushuhudie mwenyewe waimbaji wakimwimbia Mungu bila hofu na sauti zenye kusikika za kubariki.
Njoo hubarikiwe mpendwa
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni