hilo lilikuwa ni swali ngumu katika ibada hii ya leo ndani ya kanisa la shirati central
soma MATENDO YA MITUME 4:12 uangalie jina lenye faida zaidi kwa watu na linaloogopwa
soma KUTOKA 15:......utazame namna ambavyo Mungu alimshughulikia Farao
mpendwa msomaji tafadhali fatilia mafungu hayo utagundua jina linalohitajika kuogopwa na kuinuliwa watu wote ktk ulimwengu huu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni