Alhamisi, 13 Agosti 2015

HEBU ZITAMBUE SIRI ZILIZOPO KWENYE NAMBA MBALIMBALI KUHUSU MAMBO YA KIROHO

/ZIJUE NAMBA\
Mwanzo 6;14 1korintho2;10 ufunuo 19;10
No 1,maana yake @Mungu ni mmoja, kumbukumbu la torati 6;4
B,kanisa ni moja}efeso 4;4
C,iman ni moja}efeso 4;4
D,ubatizo ni moja efeso 4;4-6,1 korintho 12;13
NO 2,Maana yake kiunabii ktk biblia
@Agano la kale na agano jipya{mathayo 13;31-52
B,watu wawili{mwanamke na mwanaume}kuunganshwa na kuwa mwili mmoja;Mathayo 19;3-6
NO 3 Maana yake:Ushirika wa utatu mtakatfu yaani Mungu baba,mwana na Roho mtakatifu
1 Yohana 5:8
Mwanzo 1:26
2 Korintho 13:14
No4: Maana yake katika biblia
A: Pande nne za dunia
B: Malaika walioshika pande kuu za dunia ili shetani asidhuru dunia mpaka mungu amalze kupiga muhuri wa watu wake Daniel 7:1-2, Ufunuo7:1-3
No7: Ukamilifu wa mungu(siku sita fanya kazi yake)
Ufunuo 6:1,ufunuo 8:1,8:6,ufunuo 1:20,ufunuo10:3
No 12:Ufunuo21:9-24,ufunuo 21:21
No 24:A:Viti vya ukuhani
            B:Viti 24 vinakaliwa na watu 24 ufunuo 4:1-10,Mathayo 27:51
No 30:Ukomavu wa kikohani luka 3:23
No40:Uzoefu wa mambo ya kiroho luka 4:1
Mwanzo 7:17,Mathayo3:1,Yohana 3:1
No 50:Jubeled(mambo ya walawi 25:10
No300:Ushuhuda wa Gidioni Waamuzi 7:19,Ufunuo 17:13

           



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni