KUNENA KWA LUGHA:
TUNAWEZA KUMTAMBUA
MTU AMBAYE ANANENA KWA ROHO?
1:Lazima aweze kufasiri baada ya kunena
2:Lazima mtu asiye wa kabila lake amuelewe
3:Lazima awe amebatizwa kwa roho kama kristo alivyosema.
1Wakorintho 14:6-9
maana kuna lugha nyingi duniani lakini
je kama hakuna roho mtakatifu je twayaweza kuyasikia?
SWALI:Je mtu asiyeweza kufasiri alichokinena anaongozwa
na roho?
1Wakorintho 14:10-15 Basi
ikiwa tunanena kwa roho tuombe tupewe kufasiri lakini kama huwezi kufasiri basi
hujui ulinenalo.
Matendo ya mitume 2:1-12 Siku ya pentekosti
wanafunzi walinena kwa roho na hata watu wote wakaelewana.
Mathayo 3:11-12 yeye awabatizaye kwa roho
na moto ndiye muweza yote yesu kristo
Je lugha unayoisikia ikinenwa na waganga wachawi na wengine
unaisikia?.
Kubali kumpokea kristo ili upate kufunuliwa habari hizi ZABURI 25:14 Siri yake ameificha kwa wale
wamchao tu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni