Alhamisi, 13 Agosti 2015

                                   KUNENA KWA LUGHA:
TUNAWEZA KUMTAMBUA  MTU AMBAYE ANANENA KWA ROHO?
1:Lazima aweze kufasiri baada ya kunena
2:Lazima mtu asiye wa kabila lake amuelewe
3:Lazima awe amebatizwa kwa roho kama kristo alivyosema.
1Wakorintho  14:6-9 maana kuna lugha nyingi duniani  lakini je kama hakuna roho mtakatifu je twayaweza kuyasikia?
SWALI:Je mtu asiyeweza kufasiri alichokinena anaongozwa na roho?
1Wakorintho  14:10-15 Basi ikiwa tunanena kwa roho tuombe tupewe kufasiri lakini kama huwezi kufasiri basi hujui ulinenalo.
Matendo ya mitume 2:1-12 Siku ya pentekosti wanafunzi walinena kwa roho na hata watu wote wakaelewana.
Mathayo 3:11-12 yeye awabatizaye kwa roho na moto ndiye muweza yote yesu kristo
Je lugha unayoisikia ikinenwa na waganga wachawi na wengine unaisikia?.
Kubali kumpokea kristo ili upate kufunuliwa habari hizi  ZABURI 25:14 Siri yake ameificha kwa wale wamchao tu.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni