Jumamosi, 3 Oktoba 2015

HIVI NDIVYO SABATO YA KWANZA YA 03\10\2015 ILIVYOANZA

HATIMAYE ROBO YA NNE imeanza rasmi na katika sabato hii ya kwanza iliyoambatana na ibada ya maombi ya kufunga kilianza na mkutano wa waalimu kwa kujifunza mwongozo wa kujifunza biblia(LEASONI> Na baadae muda wa kuimba nyimbo za kikristo ilifuatia kabla ya huduma kuu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni