Wapendwa tuendelee kuiombea kanisa kwani tarehe 1/11/2015 siku ya jumapilii kanisa la shirati central litakuwa na uchaguzi wa watendakazi wa mwaka 2016 Tuzidi kumuomba Mungu achague viongozi wa kanisa wajumbe wa baraza la uchaguzi watumike kama chombo tu. MUngu akubariki saana
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni