Ijumaa, 30 Oktoba 2015

KANISA YAOMBA AMANI NCHI NZIMA

Kanisa la wasabato la shirati central iliyoko shirati Rorya Mara inapenda kuwapongeza watanzania wote waliyoshiriki uchaguzi wa nchi huku likiomba kwa dhati kabisa Amani kuwepo ndani ya nchi kwani muweza yote ni Mungu ambaye yy ndiye alimuumba kila mwanadamu hata kama aliyeteuliwa kuwa mkuu wa nchi yetu hakuwa chaguo lako lkini tumuombe tu muumbaji wetu Tanzania izidi kuwa na amani na aliyeteuliwa atende kazi huku Mungu akitanguliza fimbo yake mbele yake ili tusiingie ktkt taabu yoyote ktk nchi yetu ndani ya miaka yote mitano ktk uongozi wake wote ndani ya miaka mitano

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni